Links to all sites last visited 14 February 2024
Constitution of the Republic of Kenya 2010
Protection from Violence
- EnglishDespite any other provision in this Constitution, the following rights and fundamental freedoms shall not be limited—
(a) freedom from torture and cruel, inhuman or degrading treatment or punishment;
(b) freedom from slavery or servitude;
… (Art. 25) - SwahiliLicha ya vifungu vingine vyovyote katika Katiba hii, haki zifuatazo na uhuru wa msingi hazitawekewa mipaka-
(a) uhuru dhidi ya kuteswa na ukatili, kitendo au adhabu ya udhalilishaji;
(b) uhuru dhidi ya utumwa na kutumikishwa;
… (Kifungu cha 25)
Protection from Violence
- EnglishEvery person has the right to freedom and security of the person, which includes the right not to be—
…
(c) subjected to any form of violence from either public or private sources;
(d) subjected to torture in any manner, whether physical or psychological;
(e) subjected to corporal punishment; or
(f) treated or punished in a cruel, inhuman or degrading manner. (Art. 29) - SwahiliKila mtu ana haki ya uhuru na usalama wa mtu huyo, ambayo ni pamoja na haki ya-
…
(c) kutoingizwa kwenye aina yoyote ya vurugu kutoka ama vyanzo vya umma au vya binafsi;
(d) kutoingizwa kwenye mateso kwa njia yoyote ile, iwe ya kimwili au ya kisaikolojia;
(e) kutopewa adhabu ya viboko; au
(f) kutotendewa au kutoadhibiwa kwa njia ya kikatili, au ya kudhalilisha. (Kifungu cha 29)
Protection from Violence
- English(1) A person shall not be held in slavery or servitude.
(2) A person shall not be required to perform forced labour. (Art. 30) - Swahili(1) Mtu hatashikiliwa katika utumwa au kutumikishwa.
(2) Mtu hatalazimishwa kufanya kazi ya shuruba. (Kifungu cha 30)
Protection from Violence
- English...
(2) The right to freedom of expression does not extend to—
(a) propaganda for war;
(b) incitement to violence;
(c) hate speech; or
(d) advocacy of hatred that—
(i) constitutes ethnic incitement, vilification of others or incitement to cause harm; or
(ii) is based on any ground of discrimination specified or contemplated in Article 27(4).
… (Art. 33) - Swahili...
(2) Haki ya uhuru wa kujieleza haijumuishi-
(a) propaganda za vita;
(b) kuchochea vurugu;
(c) matamshi ya chuki; au
(d) kuhamasisha chuki ambayo -
(i) inajumuisha uchochezi wa kikabila, kuwasingizai wengine au uchochezi wa kusababisha madhara; au
(ii) inatokana na msingi wowote wa ubaguzi ulioainishwa au kufafanuliwa katika Kifungu cha 27 (4).
… (Kifungu cha 33)
Protection from Violence
- English(1) Every child has the right—
…
(d) to be protected from abuse, neglect, harmful cultural practices, all forms of violence, inhuman treatment and punishment, and hazardous or exploitative labour;
… (Art. 53) - Swahili(1) Kila mtoto ana haki -
…
(d) ya kulindwa dhidi ya unyanyasaji, kupuuzwa, desturi mbaya za kitamaduni, kila aina ya ukatili, kitendo na adhabu ya udhalilishaji, na kazi mbaya au ya unyonyaji;
… (Kifungu cha 53)
Protection from Violence
- English...
(2) A political party shall not—
(a) be founded on a religious, linguistic, racial, ethnic, gender or regional basis or seek to engage in advocacy of hatred on any such basis;
(b) engage in or encourage violence by, or intimidation of, its members, supporters, opponents or any other person;
… (Art. 91) - Swahili...
(2) Chama cha siasa-
(a) hakitaanzishwa kwa msingi wa kidini, lugha, rangi, kabila, jinsia au kikanda au kujihusisha katika uenezi wa chuki kwa msingi wowote kama huo;
(b) kujihusisha au kuchochea vurugu kwa, au kutishia wanachama wake, wafuasi, wapinzani au mtu mwingine yeyote;
… (Kifungu cha 91)
1
Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"
2
Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.