Constitution of the Republic of Kenya 2010
Public Institutions and Services
  • English
    ...
    (3) All State organs and all public officers have the duty to address the needs of vulnerable groups within society, including women, older members of society, persons with disabilities, children, youth, members of minority or marginalised communities, and members of particular ethnic, religious or cultural communities.
    … (Art. 21)
  • Swahili
    ...
    (3) Vyombo vyote vya Serikali na watumishi wa umma wana wajibu wa kushughulikia mahitaji ya makundi yaliyopo katika mazingira hatarishi katika jamii, ikiwa ni pamoja na wanawake, wazee, watu wenye ulemavu, watoto, vijana, wanajamii wenye uwakilishi mdogo katika jamii au watu waliotengwa na jamii, na watu wa jamii ya kabila, dini au utamaduni fulani.
    … (Kifungu cha 21)
Public Institutions and Services
  • English
    1. Every person has the right-

    e. to social security; ...
    3. The State shall provide appropriate social security to persons who are unable to support themselves and their dependants. (Art. 43)
  • Swahili
    1. Kila mtu ana haki-

    e. ya ulinzi wa kijamii; ...
    3. Serikali itatoa ulinzi stahiki wa kijamii kwa watu ambao hawawezi kujihudumia na kuwahudumia tegemezi wao. (Kifungu cha 43)
Public Institutions and Services
  • English
    (1) The family is the natural and fundamental unit of society and the necessary basis of social order, and shall enjoy the recognition and protection of the State.
    ... (Art. 45)
  • Swahili
    (1) Familia ni kiungo cha asili na cha msingi cha jamii na msingi muhimu wa maadili ya kijamii, na itanufaika na kutambuliwa na kulindwa na Serikali.
    ... (Kifungu cha 45)
Public Institutions and Services
  • English
    The objects of the devolution of government are-

    f. to promote social and economic development and the provision of proximate, easily accessible services throughout Kenya;
    … (Art. 174)
  • Swahili
    Malengo ya ugatuzi wa serikali ni-

    f. kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi na kutoa huduma karibu na wananchi, zinazopatikana kwa urahisi katika nchi nzima ya Kenya;
    … (Kifungu cha 174)
Public Institutions and Services
  • English
    The following principles shall guide all aspects of public finance in the Republic—
    ...
    (b) the public finance system shall promote an equitable society, and in particular—

    (iii) expenditure shall promote the equitable development of the country, including by making special provision for marginalised groups and areas;
    … (Art. 201)
  • Swahili
    Kanuni zifuatazo zitaongoza nyanja zote za fedha za umma katika Jamhuri
    ...
    (b) mfumo wa fedha za umma utaimarisha jamii yenye usawa, na haswa-

    (iii) matumizi yataimarisha maendeleo sawa ya nchi, ikiwa ni pamoja na kutunga sheria maalumu kwa ajili ya makundi na maeneo ya pembezoni;
    … (Kifungu cha 201)
Public Institutions and Services
  • English

    9. Pre-primary education, village polytechnics, homecraft centres and childcare facilities.
    … (Fourth Schedule - Distribution of Functions between the National Government and the County Governments, Part 2 – County Governments)
  • Swahili

    9. Elimu ya awali, vituo vya mafunzo mbalimbali kijijini, vituo vya ufundi na vituo vya malezi ya watoto.
    … (Kiambatisho cha Nne - Mgawanyo wa Kazi kati ya Serikali ya Kitaifa na Serikali za Kaunti, Sehemu ya 2 - Serikali za Kaunti)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.