Constitution of the Republic of Kenya 2010
Protection from Violence
  • English
    Despite any other provision in this Constitution, the following rights and fundamental freedoms shall not be limited—
    (a) freedom from torture and cruel, inhuman or degrading treatment or punishment;
    (b) freedom from slavery or servitude;
    … (Art. 25)
  • Swahili
    Licha ya vifungu vingine vyovyote katika Katiba hii, haki zifuatazo na uhuru wa msingi hazitawekewa mipaka-
    (a) uhuru dhidi ya kuteswa na ukatili, kitendo au adhabu ya udhalilishaji;
    (b) uhuru dhidi ya utumwa na kutumikishwa;
    … (Kifungu cha 25)
Protection from Violence
  • English
    Every person has the right to freedom and security of the person, which includes the right not to be—

    (c) subjected to any form of violence from either public or private sources;
    (d) subjected to torture in any manner, whether physical or psychological;
    (e) subjected to corporal punishment; or
    (f) treated or punished in a cruel, inhuman or degrading manner. (Art. 29)
  • Swahili
    Kila mtu ana haki ya uhuru na usalama wa mtu huyo, ambayo ni pamoja na haki ya-

    (c) kutoingizwa kwenye aina yoyote ya vurugu kutoka ama vyanzo vya umma au vya binafsi;
    (d) kutoingizwa kwenye mateso kwa njia yoyote ile, iwe ya kimwili au ya kisaikolojia;
    (e) kutopewa adhabu ya viboko; au
    (f) kutotendewa au kutoadhibiwa kwa njia ya kikatili, au ya kudhalilisha. (Kifungu cha 29)
Protection from Violence
  • English
    (1) A person shall not be held in slavery or servitude.
    (2) A person shall not be required to perform forced labour. (Art. 30)
  • Swahili
    (1) Mtu hatashikiliwa katika utumwa au kutumikishwa.
    (2) Mtu hatalazimishwa kufanya kazi ya shuruba. (Kifungu cha 30)
Protection from Violence
  • English
    ...
    (2) The right to freedom of expression does not extend to—
    (a) propaganda for war;
    (b) incitement to violence;
    (c) hate speech; or
    (d) advocacy of hatred that—
    (i) constitutes ethnic incitement, vilification of others or incitement to cause harm; or
    (ii) is based on any ground of discrimination specified or contemplated in Article 27(4).
    … (Art. 33)
  • Swahili
    ...
    (2) Haki ya uhuru wa kujieleza haijumuishi-
    (a) propaganda za vita;
    (b) kuchochea vurugu;
    (c) matamshi ya chuki; au
    (d) kuhamasisha chuki ambayo -
    (i) inajumuisha uchochezi wa kikabila, kuwasingizai wengine au uchochezi wa kusababisha madhara; au
    (ii) inatokana na msingi wowote wa ubaguzi ulioainishwa au kufafanuliwa katika Kifungu cha 27 (4).
    … (Kifungu cha 33)
Protection from Violence
  • English
    (1) Every child has the right—

    (d) to be protected from abuse, neglect, harmful cultural practices, all forms of violence, inhuman treatment and punishment, and hazardous or exploitative labour;
    … (Art. 53)
  • Swahili
    (1) Kila mtoto ana haki -

    (d) ya kulindwa dhidi ya unyanyasaji, kupuuzwa, desturi mbaya za kitamaduni, kila aina ya ukatili, kitendo na adhabu ya udhalilishaji, na kazi mbaya au ya unyonyaji;
    … (Kifungu cha 53)
Protection from Violence
  • English
    ...
    (2) A political party shall not—
    (a) be founded on a religious, linguistic, racial, ethnic, gender or regional basis or seek to engage in advocacy of hatred on any such basis;
    (b) engage in or encourage violence by, or intimidation of, its members, supporters, opponents or any other person;
    … (Art. 91)
  • Swahili
    ...
    (2) Chama cha siasa-
    (a) hakitaanzishwa kwa msingi wa kidini, lugha, rangi, kabila, jinsia au kikanda au kujihusisha katika uenezi wa chuki kwa msingi wowote kama huo;
    (b) kujihusisha au kuchochea vurugu kwa, au kutishia wanachama wake, wafuasi, wapinzani au mtu mwingine yeyote;
    … (Kifungu cha 91)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.