Constitution of the Republic of Kenya 2010
Jurisdiction and Access
  • English
    ...
    (4) Appeals shall lie from the Court of Appeal to the Supreme Court—
    (a) as of right in any case involving the interpretation or application of this Constitution;
    (b) in any other case in which the Supreme Court, or the Court of Appeal, certifies that a matter of general public importance is involved, subject to clause (5).
    … (Art. 163)
  • Swahili
    ...
    (4) Rufaa itakatwa kutoka Mahakama ya Rufaa kwenda Mahakama Kuu-
    (a) kama ilivyo kwa haki katika kesi yoyote inayohusisha ufafanuzi au matumizi ya Katiba hii;
    (b) katika kesi nyingine yoyote ambayo Mahakama Kuu, au Mahakama ya Rufaa, inathibitisha kwamba suala la umuhimu kwa umma linahusika, kwa kuzingatia ibara ya (5).
    … (Kifungu cha 163)
Jurisdiction and Access
  • English
    ...
    (3) Subject to clause (5), the High Court shall have—

    (d) jurisdiction to hear any question respecting the interpretation of this Constitution including the determination of—
    (i) the question whether any law is inconsistent with or in contravention of this Constitution;
    (ii) the question whether anything said to be done under the authority of this Constitution or of any law is inconsistent with, or in contravention of, this Constitution;
    (iii) any matter relating to constitutional powers of State organs in respect of county governments and any matter relating to the constitutional relationship between the levels of government;
    (iv) a question relating to conflict of laws under Article 191;
    … (Art. 165)
  • Swahili
    ...
    (3) Kwa kuzingatia ibara ya (5), Mahakama Kuu itakuwa-

    (d) mamlaka ya kusikiliza shauri lolote kuhusu ufafanuzi wa Katiba hii ikiwa ni pamoja na uamuzi wa-
    (i) shauri kwamba iwapo sheria yoyote ipo kinyume au imevunja Katiba hii;
    (ii) shauri kwamba iwapo kuna kitu chochote ambacho kimefanywa chini ya mamlaka ya Katiba hii au ya sheria yoyote kipo kinyume au kimevunja Katiba hii;
    (iii) jambo lolote linalohusiana na nguvu ya kikatiba ya vyombo vya Serikali kuhusu serikali za kaunti na jambo lolote linalohusiana na uhusiano wa kikatiba kati ya ngazi za serikali;
    (iv) shauri linalohusiana na mgongano wa sheria chini ya Kifungu cha 191;
    … (Kifungu cha 165)
Jurisdiction and Access
  • English
    (1) Every person has the right to institute court proceedings, claiming that this Constitution has been contravened, or is threatened with contravention.
    (2) In addition to a person acting in their own interest, court proceedings under clause (1) may be instituted by—
    (a) a person acting on behalf of another person who cannot act in their own name;
    (b) a person acting as a member of, or in the interest of, a group or class of persons;
    (c) a person acting in the public interest; or
    (d) an association acting in the interest of one or more of its members. (Art. 258)
  • Swahili
    (1) Kila mtu ana haki ya kufungua kesi mahakamani, akidai kwamba Katiba hii imevunjwa, au inatishiwa kuvunjwa.
    (2) Pamoja na mtu kufanya kwa maslahi yake binafsi, kesi za mahakamani chini ya ibara ya (1) zinaweza kufunguliwa na-
    (a) mtu anayechukua hatua kwa niaba ya mtu mwingine ambaye hawezi kuchukua hatua kwa jina lake;
    (b) mtu anayechukua hatua kama mshiriki, au kwa maslahi ya kikundi au tabaka la watu;
    (c) mtu anayechukua hatua kwa maslahi ya umma; au
    (d) chama kinachochukua hatua kwa maslahi ya mwanachama wake mmoja au zaidi. (Kifungu cha 258)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.