Constitution of the Republic of Kenya 2010
Political Rights and Association
  • English

    (3) Women and men have the right to equal treatment, including the right to equal opportunities in political, economic, cultural and social spheres.
    … (Art. 27)
  • Swahili

    (3) Wanawake na wanaume wana haki ya kutendewa kwa usawa, ikiwa ni pamoja na haki ya kuwa na fursa sawa katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.
    … (Kifungu cha27)
Political Rights and Association
  • English
    (1) Every person has the right to freedom of association, which includes the right to form, join or participate in the activities of an association of any kind.
    … (Art. 36)
  • Swahili
    (1) Kila mtu ana haki ya uhuru wa kujumuika, ambayo hujumuisha haki ya kuunda, kujiunga au kushiriki katika shughuli za chama cha aina yoyote.
    … (Kifungu cha 36)
Political Rights and Association
  • English
    (1) Every citizen is free to make political choices, which includes the right—
    (a) to form, or participate in forming, a political party;
    (b) to participate in the activities of, or recruit members for, a political party; or
    (c) to campaign for a political party or cause.
    (2) Every citizen has the right to free, fair and regular elections based on universal suffrage and the free expression of the will of the electors for—
    (a) any elective public body or office established under this Constitution; or
    (b) any office of any political party of which the citizen is a member.
    (3) Every adult citizen has the right, without unreasonable restrictions—
    (a) to be registered as a voter;
    (b) to vote by secret ballot in any election or referendum; and
    (c) to be a candidate for public office, or office within a political party of which the citizen is a member and, if elected, to hold office. (Art. 38)
  • Swahili
    (1) Kila raia yuko huru kufanya chaguzi za kisiasa, ambazo ni pamoja na haki-
    (a) ya kuunda, au kushiriki katika kuunda chama cha siasa;
    (b) kushiriki katika shughuli za, au kuwaandikisha wanachama wa chama cha siasa; au
    (c) kufanyia kampeni chama cha kisiasa au shughuli.
    (2) Kila raia ana haki ya kushiriki chaguzi huru, za haki na za mara kwa mara zenye msingi wa haki majumui ya kupiga kura na uhuru wa kuelezea nia ya wachaguliwa kwa—
    (a) chombo chochote cha kuchaguliwa au ofisi iliyoanzishwa chini ya Katiba hii; au
    (b) ofisi yoyote ya chama chochote cha kisiasa ambacho raia huyo ni mwanachama wake.
    (3) Kila raia mtu mzima ana haki, bila vizuizi visivyo vya msingi-
    (a) ya kuandikishwa kama mpiga kura;
    (b) kupiga kura ya siri katika uchaguzi wowote au kura ya maoni; na
    (c) kuwa mtaradhia wa ofisi ya umma, au ofisi ndani ya chama cha siasa ambacho raia huyo ni mwanachama wake na, ikiwa amechaguliwa kushika wadhifa. (Kifungu cha 38)
Political Rights and Association
  • English
    The electoral system shall comply with the following principles—
    (a) freedom of citizens to exercise their political rights under Article 38;
    (b) not more than two-thirds of the members of elective public bodies shall be of the same gender;
    … (Art. 81)
  • Swahili
    Mfumo wa uchaguzi utazingatia kanuni zifuatazo-
    (a) uhuru wa raia kutumia haki yao ya kisiasa chini ya Kifungu cha 38;
    (b) si zaidi ya theluthi mbili ya wajumbe wa vyombo vya umma vya kuchaguliwa watakuwa wa jinsia moja;
    … (Kifungu cha 81)
Political Rights and Association
  • English
    (1) A person qualifies for registration as a voter at elections or referenda if the person—
    (a) is an adult citizen;
    (b) is not declared to be of unsound mind; and
    (c) has not been convicted of an election offence during the preceding five years.
    … (Art. 83)
  • Swahili
    (1) Mtu anastahili kuandikishwa kama mpiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni ikiwa mtu huyo—
    (a) ni raia mtu mzima;
    (b) hajatangazwa kuwa na ugonjwa wa akili; na
    (c) hajakutwa kuwa na kosa la uchaguzi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
    … (Kifungu cha 83)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.