Constitution of the Republic of Kenya 2010
Equality and Non-Discrimination
  • English
    We, the people of Kenya - …
    RECOGNISING the aspirations of all Kenyans for a government based on the essential values of human rights, equality, freedom, democracy, social justice and the rule of law:
    … (Preamble)
  • Swahili
    Sisi, wananchi wa Kenya - …
    KWA KUTAMBUA matamanio ya Wakenya wote kuwa na serikali iliyojengwa katika tunu muhimu za haki za binadamu, usawa, uhuru, demokrasia, haki ya kijamii na utawala wa sheria:
    ... (Utangulizi)
Equality and Non-Discrimination
  • English
    (1) The national values and principles of governance in this Article bind all State organs, State officers, public officers and all persons whenever any of them—
    (a) applies or interprets this Constitution;
    (b) enacts, applies or interprets any law; or
    (c) makes or implements public policy decisions.
    (2) The national values and principles of governance include—

    (b) human dignity, equity, social justice, inclusiveness, equality, human rights, non-discrimination and protection of the marginalised;
    … (Art. 10)
  • Swahili
    (1) Tunu za kitaifa na kanuni za utawala katika Kifungu hiki huvifunga vyombo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, watumishi wa umma na watu wote wakati wowote pale ambapo yeyote kati ya hao-
    (a) anatumia au kufafanua Katiba hii;
    (b) anatunga, anatumia au anafafanua sheria yoyote; au
    (c) anafanya au kutekeleza maamuzi ya sera ya umma.
    (2) Tunu za kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na—

    (b) utu wa binadamu, haki, haki ya kijamii, umoja, usawa, haki za binadamu, kutokuwa na ubaguzi na ulinzi kwa waliotengwa na jamii;
    … (Kifungu cha 10)
Equality and Non-Discrimination
  • English
    (1) Every person is equal before the law and has the right to equal protection and equal benefit of the law.
    (2) Equality includes the full and equal enjoyment of all rights and fundamental freedoms.
    (3) Women and men have the right to equal treatment, including the right to equal opportunities in political, economic, cultural and social spheres.
    (4) The State shall not discriminate directly or indirectly against any person on any ground, including race, sex, pregnancy, marital status, health status, ethnic or social origin, colour, age, disability, religion, conscience, belief, culture, dress, language or birth.
    (5) A person shall not discriminate directly or indirectly against another person on any of the grounds specified or contemplated in clause (4).
    (6) To give full effect to the realisation of the rights guaranteed under this Article, the State shall take legislative and other measures, including affirmative action5 programmes and policies designed to redress any disadvantage suffered by individuals or groups because of past discrimination.
    (7) Any measure taken under clause (6) shall adequately provide for any benefits to be on the basis of genuine need.
    (8) In addition to the measures contemplated in clause (6), the State shall take legislative and other measures to implement the principle that not more than two-thirds of the members of elective or appointive bodies shall be of the same gender. (Art. 27)
  • Swahili
    (1) Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria.
    (2) Haki sawa ni pamoja na kurufahia kikamilifu na kwa usawa haki zote na uhuru wa msingi.
    (3) Wanawake na wanaume wana haki ya kutendewa kwa usawa, ikiwa ni pamoja na haki ya kuwa na fursa sawa katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kijamii.
    (4) Serikali haitambagua mtu yeyote kwa dhahiri au si kwa dhahiri kwa msingi wowote ikiwa ni pamoja na mbari, jinsi, mimba, hali ya ndoa, hali ya afya, asili ya kikabila au kijamii, rangi, umri, ulemavu, dini, dhamiri, imani, utamaduni, mavazi, lugha au kuzaliwa.
    (5) Mtu yeyote hatambagua mtu yeyote kwa dhahiri ama si kwa dhahiri kwa misingi yoyote iliyobaisnishwa katika ibara ya (4).
    (6) Ili kutekeleza kikamilifu utekelezaji wa haki zilizohakikishwa chini ya Kifungu hiki, Serikali itachukua hatua za kisheria na hatua nyinginezo, pamoja na mipango na sera thabiti za utekelezaji zilizoundwa ili kufidia unyimwaji wa haki ambao uliwapata watu au kikundi cha watu kwa sababu ya ubaguzi wa zamani.
    (7) Hatua yoyote inayochukuliwa chini ya ibara ya (6) itatoa kikamilifu maslahi kwa msingi wa hitaji la kweli.
    (8) Pamoja na hatua zilizobainishwa katika ibara ya (6), Serikali itachukua hatua za kisheria na hatua nyinginezo ili kutekeleza kanuni ambayo itahakikisha kwamba washirika wa bodi wa kuchaguliwa au kuteuliwa wa jinsia moja hawatakuwa zaidi ya theluthi mbili. (Kifungu cha 27)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.