Constitution of the Republic of Kenya 2010
National level
  • English
    ...
    (6) To give full effect to the realisation of the rights guaranteed under this Article, the State shall take legislative and other measures, including affirmative action10 programmes and policies designed to redress any disadvantage suffered by individuals or groups because of past discrimination.
    (7) Any measure taken under clause (6) shall adequately provide for any benefits to be on the basis of genuine need.
    (8) In addition to the measures contemplated in clause (6), the State shall take legislative and other measures to implement the principle that not more than two-thirds of the members of elective or appointive bodies shall be of the same gender. (Art. 27)
  • Swahili
    ...
    (6) Ili kutekeleza kikamilifu utekelezaji wa haki zilizohakikishwa chini ya IKifungu hiki, Serikali itachukua hatua za kisheria na hatua nyinginezo, pamoja na mipango na sera thabiti za utekelezaji zilizoundwa ili kufidia unyimwaji wa haki ambao uliwapata watu au kikundi cha watu kwa sababu ya ubaguzi wa zamani.
    (7) Hatua yoyote inayochukuliwa chini ya ibara ya (6) itatoa kikamilifu maslahi kwa msingi wa hitaji la kweli.
    (8) Pamoja na hatua zilizobainishwa katika ibara ya (6), Serikali itachukua hatua za kisheria na hatua nyinginezo ili kutekeleza kanuni ambayo itahakikisha kwamba washirika wa bodi wa kuchaguliwa au kuteuliwa wa jinsia moja hawatakuwa zaidi ya theluthi mbili. (Kifungu cha 27)
National level
  • English
    The electoral system shall comply with the following principles

    (b) not more than two-thirds of the members of elective public bodies shall be of the same gender;

    (d) universal suffrage based on the aspiration for fair representation and equality of vote;
    … (Art. 81)
  • Swahili
    Mfumo wa uchaguzi utazingatia kanuni zifuatazo

    (b) si zaidi ya theluthi mbili ya wajumbe wa vyombo vya umma vya kuchaguliwa watakuwa wa jinsia moja;

    (d) haki majumui ya kupiga kura kwa msingi wa matamanio ya uwakilishi wa haki na usawa wa kura;
    … (Kifungu cha 81)
National level
  • English
    (1) Elections for the seats in Parliament provided for under Articles 97(1)(c) and 98(1)(b), (c) and (d), and for the members of county assemblies under article 177(1)(b) and (c), shall be on the basis of proportional representation by use of party lists.
    (2) The Independent Electoral and Boundaries Commission shall be responsible for the conduct and supervision of elections for seats provided for under clause (1) and shall ensure that—

    (b) except in the case of the seats provided for under Article 98(1)(b), each party list comprises the appropriate number of qualified candidates and alternates between male and female candidates in the priority in which they are listed;
    … (Art. 90)
  • Swahili
    (1) Chaguzi wa viti katika Bunge vilivyowekwa chini ya Kifungu cha 97 (1) (c) na 98 (1) (b), (c) na (d), na kwa wajumbe wa mabunge ya kaunti chini ya kifungu cha 177 (1) (b) na (c), zitakuwa kwa msingi wa uwakilishi wa usawa kwa kutumia orodha ya chama.
    (2) Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka itakuwa na jukumu la kufanya na kusimamia uchaguzi wa viti vilivyobainishwa chini ya ibara ya (1) na itahakikisha kwamba—

    (b) isipokuwa katika viti vilivyobainishwa chini ya Kifungu cha 98 ( 1)(b), orodha ya kila chama inajumuisha idadi inayofaa ya wagombea wenye sifa na wanabadilishana kati ya wagombea wa kiume na wa kike katika kipaumbele ambacho kwacho wameorodheshwa;
    … (Kifungu cha 90)
National level
  • English
    (1) The National Assembly consists of—

    (b) forty-seven women, each elected by the registered voters of the counties, each county constituting a single member constituency;
    … (Art. 97)
  • Swahili
    (1) Bunge la Kitaifa linajumuisha—

    (b) wanawake arobaini na saba, kila mmoja aliyechaguliwa na wapiga kura wa kaunti, kila kaunti inaunda jimbo moja la uchaguzi;
    … (Kifungu cha 97)
National level
  • English
    (1) The Senate consists of—

    (b) sixteen women members who shall be nominated by political parties according to their proportion of members of the Senate elected under clause (a) in accordance with Article 90;
    (c) two members, being one man and one woman, representing the youth;
    (d) two members, being one man and one woman, representing persons with disabilities;
    … (Art. 98)
  • Swahili
    (1) Bunge la Seneti linajumuisha—
    ...
    (b) wajumbe wanawake kumi na sita watakaoteuliwa na vyama vya siasa kulingana na idadi yao ya wajumbe wa Seneti waliochaguliwa chini ya ibara ya (a) kwa mujibu wa Kifungu cha 90;
    (c) wajumbe wawili, mmoja akiwa mwanaume na mmoja mwanamke, wakiwawakilisha vijana;
    (d) wajumbe wawili, mmoja akiwa mwanaume anayewakilisha watu wenye ulemavu;
    … (Kifungu cha 98)
Subnational levels
  • English
    County governments established under this Constitution shall reflect the following principles

    (c) no more than two-thirds of the members of representative bodies in each county government shall be of the same gender. (Art. 175)
  • Swahili
    Serikali za kaunti zilizoanzishwa chini ya Katiba hii zitaongozwa na kanuni zifuatazo

    (c) hakuna zaidi ya theluthi mbili ya wajumbe wa vyombo vya wawakilishi katika kila serikali ya kaunti watakuwa wa jinsia moja. (Kifungu cha 175)
Subnational levels
  • English
    A county assembly consists of—
    (a) members elected by the registered voters of the wards, each ward constituting a single member constituency, on the same day as a general election of Members of Parliament, being the second Tuesday in August, in every fifth year;
    (b) the number of special seat members necessary to ensure that no more than two-thirds of the membership of the assembly are of the same gender;
    … (Art. 177)
  • Swahili
    Bunge la kaunti linaundwa na -
    (a) wajumbe waliochaguliwa na wapiga kura waliosajiliwa wa kata, kila kata inaunda jimbo moja la uchaguzi, katika siku iyo hiyo ya uchaguzi mkuu wa Wabunge, itakuwa Jumanne ya pili ya mwezi Agosti, kila baada ya miaka mitano;
    (b) idadi ya wajumbe wa viti maalumu ambayo ni ya lazima ili kuhakikisha kwamba si zaidi ya theluthi mbili ya wajumbe wa bunge hilo wanakuwa wa jinsia moja;
    … (Kifungu cha 177)
Subnational levels
  • English
    (1) Not more than two-thirds of the members of any county assembly or county executive committee shall be of the same gender.
    … (Art. 197)
  • Swahili
    (1) Si zaidi ya theluthi mbili ya wajumbe wa bunge lolote la kaunti au kamati kuu ya kaunti watakuwa wa jinsia moja.
    … (Kifungu cha 197)
1

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (English). According to Art. 7: "… 2. The official languages of the Republic are Kiswahili and English. …"

2

Constitution of the Republic of Kenya 2010 (Swahili). UN Women in-house translation (2020).

Links to all sites last visited 14 February 2024
3
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
4
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
5
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
6
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
7
Chapter 4 on Bill of Rights.
8
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
9
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
10
According to Art. 260: “‘Affirmative action’ includes any measure designed to overcome or ameliorate an inequity or the systemic denial or infringement of a right or fundamental freedom;...”.
11
According to Art. 248: “(2) The commissions are— (a) the Kenya National Human Rights and Equality Commission; (b) the National Land Commission; (c) the Independent Electoral and Boundaries Commission; (d) the Parliamentary Service Commission; (e) the Judicial Service Commission; (f) the Commission on Revenue Allocation; (g) the Public Service Commission; (h) the Salaries and Remuneration Commission; (i) the Teachers Service Commission; and (j) the National Police Service Commission.”
12
Chapter 4 on Bill of Rights.
13
Chapter 4 on Bill of Rights.