SEARCH DATABASE
The Global Gender Equality Constitutional Database is a repository of gender equality related provisions in 194 constitutions from around the world. The Database was updated in partnership with the International Bar Association's Human Rights Institute (IBAHRI) and with support from the Swedish International Development Agency (SIDA) and the Government of Japan. Experience its wealth and depth of information by starting your search now.
Marriage and Family Life
- EnglishParliament shall—
...
(c) enact legislation—
…
(iii) to regulate the recognition and protection of matrimonial property and in particular the matrimonial home during and on the termination of marriage;
… (Art. 68) - SwahiliBunge-
…
(c) litatunga sheria-
...
(iii) ili kudhibiti utambuzi na ulinzi wa mali ya wana ndoa na hususani nyumba ya wanandoa wakati na siku ya kuvunjika kwa ndoa;
… (Kifungu cha 68)
Minorities
- English1. Every political party shall-
…
e. respect the right of all persons to participate in the political process, including minorities and marginalised groups;
… (Art. 91) - Swahili1. Kila chama cha siasa-
…
e. kitaheshimu haki ya watu wote kushiriki katika mchakato wa kisiasa, ikiwa ni pamoja na watu wenye uwakilishi mdogo katika jamii na makundi yaliyotengwa na jamii;
… (Kifungu cha 91)
Minorities
- English(1) The values and principles of public service include—
…
(i) affording adequate and equal opportunities for appointment, training and advancement, at all levels of the public service, of—
...
(ii) the members of all ethnic groups;
… (Art. 232) - Swahili(1) Tunu na kanuni za utumishi wa umma ni pamoja na—
…
(i) kupata fursa sawa na stahiki kwa ajili ya uteuzi, mafunzo na maendeleo, katika ngazi zote za utumishi wa umma, wa-
…
(ii) watu wa makundi yote ya makabila;
… (Kifungu cha 232)
Minorities
- English(1) Community land shall vest in and be held by communities identified on the basis of ethnicity, culture or similar community of interest.
(2) Community land consists of—
(a) land lawfully registered in the name of group representatives under the provisions of any law;
(b) land lawfully transferred to a specific community by any process of law;
(c) any other land declared to be community land by an Act of Parliament; and
(d) land that is—
(i) lawfully held, managed or used by specific communities as community forests, grazing areas or shrines;
(ii) ancestral lands and lands traditionally occupied by hunter-gatherer communities; or
(iii) lawfully held as trust land by the county governments, but not including any public land held in trust by the county government under Article 62(2).
… (Art. 63) - Swahili(1) Ardhi ya jamii itakabidhiwa na kushikiliwa na jamii zinazotambuliwa kwa msingi wa kabila, utamaduni au jamii yenye maslahi yanayofanana.
(2) Ardhi ya jumuiya inajumuisha—
(a) ardhi iliyosajiliwa kihalali kwa jina la wawakilishi wa kikundi chini ya masharti ya sheria yoyote;
(b) ardhi ambayo umilikiwa wake umehamishwa kihalali kwenda kwa jamii mahususi kwa mchakato wowote wa sheria;
(c) ardhi nyingine yoyote iliyotangazwa kuwa ardhi ya jamii kwa Sheria ya Bunge; na
(d) ardhi ambayo—
(i) inashikiliwa kihalali, inayosimamiwa au kutumiwa na jamii mahususi kama misitu ya jamii, maeneo ya malisho au matambiko;
(ii) ardhi za mababu na ardhi ambazo kiutamaduni zilishikiliwa na jamii za wawindaji na waokotaji; au
(iii) imeshikiliwa kisheria na serikali za kaunti kama ardhi ya amana, lakini haijumuishi ardhi yoyote ya umma inayoshikiliwa na serikali ya kaunti chini ya Kifungu cha 62 (2).
... (Kifungu cha 63)
Minorities
- English
…
(3) The national government may use the Equalisation Fund-
…
(b) either directly, or indirectly through conditional grants to counties in which marginalised communities exist.
... (Art. 204) - Swahili
…
(3) Serikali ya kitaifa inaweza kutumia Mfuko wa Usawa-
…
(b) ama kwa dhahiri, au si kwa dhahiri kupitia ruzuku zenye masharti kwenda kwenye kaunti ambazo kuna jamii za pembezoni.
… (Kifungu cha 204)
Minorities
- EnglishThe State shall put in place affirmative action programmes designed to ensure that minorities and marginalised groups—
(a) participate and are represented in governance and other spheres of life;
(b) are provided special opportunities in educational and economic fields;
(c) are provided special opportunities for access to employment;
(d) develop their cultural values, languages and practices; and
(e) have reasonable access to water, health services and infrastructure. (Art. 56) - SwahiliSerikali itaweka mipango thabiti ya utekelezaji iliyowekwa ili kuhakikisha kwamba watu wenye uwakilishi mdogo katika jamii na makundi yaliyotengwa na jamii-
(a) wanashiriki na wanawakilishwa katika utawala na nyanja nyingine za maisha;
(b) wanapewa fursa maalumu katika nyanja za elimu na uchumi;
(c) wanapewa fursa maalumu za kupata ajira;
(d) wanakuza tunu zao za kitamaduni, lugha na desturi; na
(e) wanaweza kupata maji, huduma za afya na miundombinu. (Kifungu cha 56)
Minorities
- EnglishThe following principles shall guide all aspects of public finance in the Republic-
...
(b) the public finance system shall promote an equitable society, and in particular—
…
(iii) expenditure shall promote the equitable development of the country, including by making special provision for marginalised groups and areas;
… (Art. 201) - SwahiliKanuni zifuatazo zitaongoza nyanja zote za fedha za umma katika Jamhuri
...
(b) mfumo wa fedha za umma utaimarisha jamii yenye usawa, na haswa-
…
(iii) matumizi yataimarisha maendeleo sawa ya nchi, ikiwa ni pamoja na kutunga sheria maalumu kwa ajili ya makundi na maeneo ya pembezoni;
… (Kifungu cha 201)
Minorities
- English...
(3) All State organs and all public officers have the duty to address the needs of vulnerable groups within society, including women, older members of society, persons with disabilities, children, youth, members of minority or marginalised communities, and members of particular ethnic, religious or cultural communities.
… (Art. 21) - Swahili...
(3) Vyombo vyote vya Serikali na watumishi wa umma wana wajibu wa kushughulikia mahitaji ya makundi yaliyopo katika mazingira hatarishi katika jamii, ikiwa ni pamoja na wanawake, wazee, watu wenye ulemavu, watoto, vijana, wanajamii wenye uwakilishi mdogo katika jamii au watu waliotengwa na jamii, na watu wa jamii ya kabila, dini au utamaduni fulani.
… (Kifungu cha 21)
Minorities
- EnglishThe objects of the devolution of government are—
…
(d) to recognise the right of communities to manage their own affairs and to further their development;
(e) to protect and promote the interests and rights of minorities and marginalised communities;
… (Art. 174) - SwahiliMalengo ya ugatuzi wa serikali ni-
…
(d) kutambua haki ya jamii kusimamia mambo yao wenyewe na kukuza maendeleo yao;
(e) kulinda na kuimarisha masilahi na haki za watu wenye uwakilishi mdogo katika jamii na jamii za pembezoni;
… (Kifungu cha 174)
Minorities
- EnglishParliament shall enact legislation to promote the representation in Parliament of—
…
(d) ethnic and other minorities; and
(e) marginalised communities. (Art. 100) - SwahiliBunge litatunga sheria ili kuimarisha uwakilishi Bungeni wa—
…
(d) kabila na watu wengine wenye uwakilishi mdogo katika jamii; na
(e) jamii za pembezoni. (Kifungu cha 100)